Blog Archive

Tuesday, April 19, 2016

FABREGAS KAWEKA WAZI KOSA LILILOMUONDOA JOSE MOURINHO CHELSEA,LAKINI BADO WANAWASILIANA

Kiungo wa kimataifa wa Hispania anayeichezea klabu ya Chelsea ya Uingereza Cesc Fabregas amefunguka na kueleza lililomfanya kocha wa zamani wa klabu ya hiyo Jose Mourinho atimuliwa kazi mwezi December, licha ya kuipatia Ubingwa wa Ligi Kuu msimu uliopita.
Fabregas ameweka wazi wakati akifanya mahojiano na kituo cha tv cha Sky Sports kuwa, bado anawasiliana na kocha wake wa zamani wa Chelsea na siku zote huwa anawalaumu wachezaji wa Chelsea kwa kumuangusha na kusababisha apoteze ajira yake Stamford Bridge.

“Na muheshimu sana Mourinho na bado huwa tunawasiliana, kosa lake kubwa alilolifanya Chelsea ni kutuamini kupita kiasi na kutupa mapumziko ya mara kwa mara, kwa sababu tulikuwa mabingwa, hiyo ndio sababu iliyomfanya aondoke” >>> Cesc Fabregas

WORK OUTFIT KIPINDI HIKI CHA MVUA



AJIRA WEIGHBRIDHE COLLECTORS TANROADS*3

http://www.zoomtanzania.com/ListingUploadedDocs/TANROADS_ARUSHA2.pdf
APPLICATION LETTER SHOULD BE POSTED TO THE FOLLOWING
ADDRESS.
REGIONAL MANAGER,
TANZANIA NATIONAL ROADS AGENCY
P.O. Box 3094, ARUSHA

AJIRA TANROADS WEIGHBRIDGE OPERATORS *6

http://www.zoomtanzania.com/ListingUploadedDocs/TANROADS_ARUSHA1.pdf
APPLICATION LETTER SHOULD BE POSTED TO THE FOLLOWING
ADDRESS.
REGIONAL MANAGER,
TANZANIA NATIONAL ROADS AGENCY
P.O. Box 3094, ARUSHA

METAL BED AVAILABLE FOR SALE PRICE 350,000 CONTACT 0716721730


NAFASI ZA KAZI BODI YA MAPATO ZANZIBAR

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) imeanzishwa chini ya Sheria Namba 7 ya mwaka 1996 ikiwa ni Taasisi ya ukusanyaji wa mapato ya Serikali yatokanayo na vianzio vya ndani.
Katika kuongeza ufanisi wa ukusanyaji mapato ya Serikali, ZRB imekusudia kujaza nafasi mbalimbali zikiwemo:
. AFISA HABARI NA MAHUSIANO DARAJA LA II NAFASI MBILI (2) KWA AFISI YA ZRB UNGUJA
SIFA ZA MUOMBAJI
• Awe Mzanzibari.
• Awe na shahada ya kwanza katika fani ya Uandishi wa habari, uhusiano (Public Relations) au Mawasiliano ya Umma (Mass Communication) kutoka katika chuo kinachotambulika na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
• Awe na uwezo wa kuandika na kuzungumza kingereza na kiswahili kwa ufasaha.
• Awe mfuatiliaji mzuri na mwelewa wa taarifa na matukio mbalimbali ya Uchumi, Biashara na Kodi kupitia vyombo vya habari.
• Awe na uwezo wa kutumia kompyuta.
• Awe na umri usiozidi miaka thalathini na tano (35)
• Awe mbunifu na awe na uwezo wa kufanya kazi bila kusimamiwa
KAZI ZAKE:
• Kujibu hoja mbalimbali kwa kupitia simu, emails za wateja wanaouliza masuala ya kodi.
• Kupokea malalamiko ya wateja na wadau wakodi yaliyowasilishwa kwa njia ya simu na email.
• Kukutana na walipakodi na wadau wengine kwa lengo na kuwasikiliza na kufuatilia shida zao.
• Kutoa maelekezo kwa walipakodi na wadau wengine kuhusiana na ujazaji wa ritani na fomu nyenginezo za ZRB.
• Kujumuisha malalamiko ya wateja na wadau wengine na kuandaa ripoti yake.
• Kutoa taarifa sahihi katika vyombo vya habari kuhusiana na matukio mbalimbali.
• Kufuatilia na kujibu hoja mbalimbali zinazotolewa dhidi ya ZRB.
APPLICATION INSTRUCTIONS:
NAMNA YA KUWASILISHA MAOMBI
Barua ya maombi iambatanishwe na maelezo binafsi (CV) inayoonesha wadhamini wawili na namba zao za simu, namba ya simu ya muombaji,kivuli cha kitambulisho cha Mzanzibari, Vyeti vya kumalizia Masomo,cheti cha kuzaliwa na picha mbili.(2) za passport size zilizopigwa karibuni.
Maombi yote yawasilishwe makamo makuu ya Bodi ya Mapato Zanzibar kwa kutumia anuwani iliyopo hapa chini si zaidi tarehe 22/4/2016.
KAMISHNA,
BODI YA MAPATO ZANZIBAR
P.O.BOX 2072, MAZIZINI
ZANZIBAR.

AJIRA AGA KHAN UNIVERSITY

Safety & Security Coordinator, Manager Outreach Centre, Senior Site Superintendent, Project

Job Description

The Aga Khan University

Tanzania Institute of Higher Education

1. Safety & Security Coordinator
2. Manager Outreach Centre
3. Senior Site Superintendent
4. Project Manager

To apply:
Please send your application package which should include; an application letter, an updated CV, including the names, postal and e-mail address, telephone/fax numbers of three professional references, address to;

Human Resources Office,
Aga Khan University
Tanzania Institute of Higher Education
Salama House, Urambo Street,
P.O Box 125, Dar es Salaam,
Fax(+255)(0)222150875 or email
hr.tihe@aku.edu

For further information, please visit

http://www.aku.edu

Only shortlisted candidates will be contacted.

Applications close: 29th April 2016
Positions:Manager Outreach Centre and Safety & Security Coordinator

22nd April, 2016
Positions: Project Manger and Senior Site Superintendent